TENDWA KUKIFUTA CHADEMA
Hatimaye msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa ameibuka na
kusema sasa anaandaa kalamu yake kukifuta
Chama kikuu cha upinzani
nchini CHADEMA.
Katika Taarifa yake kwa vyombo vya habari muda mfupi
uliopita Tendwa amesema CHADEMA wanataka kuanzisha
kikundi cha mgambo
ambacho ni kinyume na sheria, katiba ya nchi na sheria za usajili wa
vyama.
No comments:
Post a Comment