MABINGWA
WATETEZI WA EURO 2012 WALIWEZA KUISHINDA UFARANSA MAGOLI 2-0, TIMU AMBAYO
WAKATI MWINGINE ILIONYESHA USTADI WAO KATIKA MCHEZO, LAKINI KWA JUMLA WAKIWA
DHAIFU NA KUKOSA MBINU WALIPOLIFIKIA LANGO LA WAPINZANI WAO.
UHISPANIA,
BAADA YA USHINDI HUO KATIKA UWANJA WA DONETSK USIKU WA JUMAMOSI, SASA ITAKUTANA
NA URENO KATIKA MECHI YA NUSU FAINALI.
XABI ALONSO:
MFUNGAJI WA MAGOLI YOTE MAWILI
No comments:
Post a Comment