Tuesday, April 15, 2014

HATUA NZURI KUELEKEA KWENYE SIKUKUU YA PILI KATIKA MAISHA YA MWANADAMU

 Ilikua ni siku muhimu kwa Mdau MKUBWA wa blog hii www.habarizamitaa.blogspot.com alipoamua ku-"propose"

Ilianza kama hivi

 
"Baby tupozi kidogo wenye wivu wajinyonge"


 
Sasa baby mimi nataka niifanye iwe "official" au unasemaje baby


 

Unaona nipo "serious"

 

Ndio hii honey wangu

 

Ishara hii ndo iwe kithibibisho kwamba nia yangu ni kufanya "kweli"

 

NIKUBUSU KWA UPENDO

 
TAYARI YAMEKUA 


MAKOFI TAFADHALI...........PWAAA.....PWAAAAA...... PWAAAAA

No comments:

Post a Comment