MBOWE NA LEMA WAJISALIMISHA POLISI
Kwa Taarifa zilizo tufikia zinasema kwamba Mwenyekiti wa Taifa wa chama
cha Chadema Freeman Mbowe na mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema
wamejisalimisha wenyewe leo asubuhi katika kituo Kikuu cha Polisi
Mkoani Arusha kwa ajili ya kuhojiwa.
No comments:
Post a Comment