Friday, September 21, 2012

KESI YA LEMA



WANACHAMA NA WAFUASI WA CHADEMA WAKIWA NJE YA MAHAKAMA KUU KANDA YA KASKAZINI KUSIKILIZA KINACHOENDELEA.


Taswira: Umati wa watu wamsindikiza kwa nyimbo Mh Lema toka Mahakamani hadi ofisi ya Chadema Arusha leo baada ya rufaa yake kuahirishwa

DSC05738Godbless Lema anaepinga kuenguliwa ubunge wake na Mahakama Kuu kanda ya Arusha akijiandaa kuingia katika usafiri wake kuondoka katika viwanja vya Mahakama Kuu Arusha asubuhi ya leo
DSC05655Umati wa watu nje ya uzio wa Mahakama Kuu Arusha kumlaki Mh Lema akitoka Mahakamani
DSC05657Msafara unaondoka, haikuwa rahisi kuwazuia watu hawa kusindikiza gari ya Mh Lema
DSC05660Waanausalama wapo kazini, nyuma ya msafara
DSC05667
DSC05672Msafara umeingia Old Moshi Road kuelekea Ngarenaro. Wananchi hawa walijawa na furaha na kujikuta wakiimba nyimbo za mashujaa kwa sauti huku wakipeperusha matawi ya miti na majani
DSC05679Baadhi ya wananchi walioamaua kutangulia Ofisini
DSC05686Msafara unakatiza mitaa ya Jiji kuingia mjini kabisa
DSC05693
DSC05691Wananchi hawa walikuwa wamejipanga kando ya barabara na kujikuta wameshindwa kujizuia hisia zao
DSC05704Wanawasili eneo zilipo ofisi za Chadema, Ngarenaro
DSC05699Gari iliyombeba Lema ikiwa imezingirwa ofisini hapo mara baada ya kuwasili
DSC05723Wakiitikia “Peoples Power” iliyoimbishwa na Lema ambae haonekani pichani
DSC05730Kamanda wa Chadema mjini Arusha maarufu kama Omari Matelephone akiwa amejitupia pamba zake zenye nakshi ya rangi zinazopatikana katika bendera ya chama hicho.
DSC05721


No comments:

Post a Comment