Monday, December 26, 2011

RAIS SALEH ATAMANI KWENDA MAREKANI

Serikali ya Rais Obama inasema kuwa inazingatia ombi la Rais Ali Abdullah Saleh wa Yemen, kutaka kwenda Marekani.
Wayemen wakipinga Rais Saleh kupewa kinga ya kutoshtakiwa

Alisema safari hiyo, siyo ya kupata matibabu kwa majaraha aliyopata katika jaribio la kumuuwa mwezi wa Juni.
Lakini afisa wa Marekani alisema ombi la Bwana Saleh linazingatiwa kwa sababu za kimatibabu.
Ghasia zimeendelea nchini Yemen, ingawa Rais Saleh alikubali kuondoka madarakani mwezi uliopita.

No comments:

Post a Comment