Serikali ya Rais Obama inasema kuwa inazingatia ombi la Rais Ali Abdullah Saleh wa Yemen, kutaka kwenda Marekani.
Lakini afisa wa Marekani alisema ombi la Bwana Saleh linazingatiwa kwa sababu za kimatibabu.
Ghasia zimeendelea nchini Yemen, ingawa Rais Saleh alikubali kuondoka madarakani mwezi uliopita.
No comments:
Post a Comment