Taarifa hizo zimethibitishwa pia na mmoja kati ya
askari wa kituo cha polisi Mafinga ambaye amedai kuwa pona ya askari
huyo ilitokana na askari mwenzao ambaye ni dereva wa gari la OCD Mafinga
kufika na kumsaidia kumkimbiza hospital kwa matibabu na sasa bado
anaendelea kutibiwa japo ni nje ya Hospital hiyo ya Mafinga.
Hadi
sasa chanzo cha tukio hilo bado kutajwa japo baadhi wanahusisha tukio
hilo la masuala ya kimapenzi na kuwa yawezekana afande huyo alikuwa
katika mawindo ya kusaka kimwana wa kusherekea nae siku kuu hiyo.
No comments:
Post a Comment