Tuesday, April 16, 2013

MAKWAIA WA KUHENGA ANUSURIKA AJALINI



mtangazaji maarufu wa kituo cha Channel Ten amenusurika ajalini leo asubuhi maeneo ya buguruni malapa baada ya gari aliokua akiiendesha aina ya RAV 4 kuchomoka tairi ya mbele. lakini hakuna aliye umia wala kufariki dunia. 

No comments:

Post a Comment