MUME:"Wenzangu wote wamefariki kulitokea moto ghafla kazini."
MKE:"Mungu wangu...we umeponeaje?"
MUME:"Tumbo lilikuwa linasumbua nakuharisha,nikaenda choo cha ofisi jirani kile cha ofisi yetu ni kibovu,hivyo ndivyo nilivyoponea kifo."
MKE:"Nazionea huruma familia za wenzio sasa wataishije?"
MUME:"Watu wa bima(insurance) wamesema watapatia kila familia Millioni Ishirini."
MKE:"Aagrh! Unaona mambo yako ya kuharisha haya! Umekosesha familia yako Millioni Ishirini!!"
No comments:
Post a Comment