Tuesday, October 30, 2012

KIZUNGUMZKUTI UVCCM HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA

by John Bukuku on October 28, 2012 in SIASA with No comments

Wanachama wa Umoja wa Vijana wa CCM (UV-CCM), wakiwa wamesimama na mabango makao makuu ya umoja wa vijana CCM kumpinga   kwa  Mwenyekiti mpya wa Taifa wa Umoja huo, Khamis Sadifa Juma na viongozi wenzake,  wakati alipowasili  makao makuu ya umoja huo jijini Dar es Salaam , akitokea mkoani Dodoma alipochaguliwa kushika nyadhifa hiyo.
Mmona wa wanacha wa (UV-CCM) katikati akiwa amekamatwa na wanachama wenzie kwa tuhuma za kupinga kwa mwekiti mpya.
Mmoja wa wanachama (UV-CCM)akipata dhoruba  kutoka kwa wanachama wenzake  (PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)

No comments:

Post a Comment