Tuesday, October 30, 2012

HALI ILIVYOKUA STESHEN YA TRENI

BAADA YA KUGOMBEA TIKETI NDO NIKAINGIA NDANI ILI KULINGOJA TRENI LENYEWE


KWAKWELI TULIINGIA NDANI KUKIWA NA MWANGA WA JUA KWA MATUMAINI TUTAONDOKA MAPEMA.


TUKAWA TUKIENDELEA KULISUBIRI KWA MATUMAINI KUA LITAFIKA MDA MCHACHE UJAO




TUKASUBIRI NA KUSUBIRI LAKINI BADO HALI ILIKUA NI NGUMU KIDOGO


MFANO WA TIKETI ITUMIWAYO NDANI YA TRENI


UTARATIBU WA TIKETI NI MBOVU WAKATAJI HAWAZINGATII IDADI ITAKIWAYO YA ABIRIA BALI WAO HUJIKATIIA TU TIKETI ILIMRADI WAMEKATA



MKUSANYIKO WA WATU AMBAO WALIKUA WAKIELEKEA MAENEO MBALIMBALI YA TANZANIA WAKISUBIRI TRENI


HEKAHEKA ZA KUSUBIRI ZIKIENDELEA NA SHAHUKU IKIZIDI KUPOTEA


GIZA LIKIINGIA NA MATUMAINI YAKIFIFIA

 GHAFLA LIKAINGIA LAKINI ABIRIA WENZETU WA RELI YA KATI WALITUSHANGAA KWAJINSI TUNAVYO LISHANGAA WAKATI WAO WAMELIZOEA

No comments:

Post a Comment