Nimesoma sms za kifo cha Nchemba; nazinukuu,
1. 'Hivi wewe unajiamini nini? Kwa nini unatuzonga hivyo? Unadhani nchi hii ni ya ccm milele? Utajutia kimbelembele chako. Unadhani ni wewe tu unayejua sana? Ukabila kwenye chama chetu unakuhusu nini hata kama kweli kwa nini kututia aibu? Hata ufanyeje 2015 tunaingia ikulu na mjengoni tutajaa, Wangwe alijifanya kujua kama wewe leo yuko wapi?'
2. 'Bendera unayovaa kila siku shingoni itageuka sanda yako. Kila mtu ana haki ya kuvutia kwake lakini wewe umezidi. Hatuwezi kuitema keki tuliyokwishaionja'
3. 'Fahari yako itageuka kilio kwako. Utatutambua'
SOURCE: Tanzania Daima July 17, 2012.
No comments:
Post a Comment