Makao makuu mapya ya Umoja wa Afrika yamefunguliwa rasmi mjini Addis Ababa, Ehiopia.
Jengo hilo lina mnara wa mita 100 mkabala na ukumbi mkubwa ya mikutano.
Waandishi wa habari wanasema jengo hilo kuwa ishara kubwa ya masilhai ya Uchina katika bara la Afrika.
Mkutano wa mwanzo wa viongozi wa Afrika kufanywa kwenye makao makuu mepya utaanza Jumapili. .
No comments:
Post a Comment